24 May 2012

MAOMBI



Askofu, Charles Gadi wa Kanisa la Habari Njema kwa Mataifa yote, akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani), Dar es Salaam jana, kuhusu kanisa hilo kuandaa mkutano wa kuombea Taifa, utakaoanza Mei 24 mwezi huu na kushirikisha dini mbalimbali kwenye Viwanja vya Biafra Kinondoni. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment