Viongozi wa Kamati inayofuatilia madai ya waliokuwa wafanyakazi wa iliyokuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki kabla ya kuvunjika kwaka 1977, wakitoa taarifa ya kuungana katika madai yao, wakati wa mkutano na waandishi wa habari kwenye Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (HLRC) Dar es Salaam jana. Kushoto ni Bw Ahmed Kabunga na Alfred Kinondo. (Picha na Charles Lucas)
No comments:
Post a Comment