Meneja Usambazaji kwa Wateja Wakubwa wanaouza bidhaa za Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Kanda ya Kaskazini, Bw. Fortunatus Alfred (kulia), akikabidhi kadi ya bajaj ya sh. mil 4, kwa Bi. Mary Kimario, aliyeshinda tuzo ya uwakala bora wa usambazaji na uuzaji wa bidhaa hizo, mjini Moshi, Kilimanjaro juzi. (Na Mpigapicha Wetu)
No comments:
Post a Comment