16 April 2012

UCHAGUZI CCM

Aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Shinyanga, Bw. Gishuli Charles, ambaye  sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Kilindi mkoani Tanga, akizungumza na waandishi wa habari mjini Shinyanga juzi, wakati akitoa nasaha kwa wana CCM kutumia kura zao kuchagua viongozi waadilifu wakati wa uchaguzi wa chama hicho. (Picha na Suleiman Abeid)

No comments:

Post a Comment