05 April 2012

MAZUNGUMZO


Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete ajuwa na mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa kamuni ya Unilever Global, Bw. Paul Polman, Ikulu jijini Dar es Salaam jana. (Picha na Ikulu)

No comments:

Post a Comment