Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohammed Shein (kulia), akiteta jambo na Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bw. Benjamin Mkapa, wakati wa ibada maalumu ya kuwekwa wakfu Askofu Michael Henry Hafidh wa Dayosisi ya Zanzibar jana. (Picha na Ramadhan Othman, Ikulu)
MELEZO HAYAENDANI NA PICHA, TOFAUTI KABISAA!!MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA! HUENDA HABARI HAIKUHAKIKIWA!IWENI MAKINI!NIKULIAIBISHA GAZETI.
ReplyDelete