02 February 2012









Mhandisi Mkuu wa Kampuni inayojenga daraja la Kigamboni,

CRJE, Zhou Zejun akifafanua jambo kabla ya kukabidhiwa

rasmi ujenzi wa daraja hilo na Shirika la Taifa la Hifadhi

ya Jamii (NSSF) katika eneo la mradi Kurasini jijini Dar

es Salaam jana. Wa tatu kulia ni Meneja Miradi wa Shirika

la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Mhandisi, John Msemo. 

No comments:

Post a Comment