16 January 2012

Waziri wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bw. Samuel Sitta (kushoto) na Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Wilbroad Slaa (kulia), wakimfariji Bw. Estaratus Mtemanyenza, ambaye ni Baba wa Marehemu, Mbunge wa Viti Maalum, Regia Mtema, nyumbani kwao Tabata Chang'ombe, Dar es Salaam jana. (Picha na Peter Mwenda)

No comments:

Post a Comment