16 January 2012

Rais Jakaya Kikwete na mkewe mama Salma, wakitoa heshima zao za mwisho kwenye jeneza lenye mwili wa Kanali Pastory Kamugisha wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) aliyefariki Dar es Salaam juzi na kusafirishwa kwenda kwao mkoani Kagera. (Na Mpigapicha Wetu)

No comments:

Post a Comment