20 January 2012

Wakazi wa Jimbo la Wawi, Mkoani Pemba, wakimsikiliza Katibu wa vijana wa Chama Cha Wananchi (CUF) Taifa, Bw. Khalifa Abdalla Ali, kabla ya kuanzisha maandamano ya kulipongeza Baraza Kuu kwa maamuzi mazito ya kuwavua uanachama, wanachama wanane, walioitwa waasi wa chama hicho hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment