16 January 2012

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Uratibu na Mahusiano na Mbunge wa Bunda, Bw. Stephen Wassira, akizungumza na umati wa wananchi wa mji wa Bunda hivi karibuni, wakati akifafanua hatua kwa hauta kuhusu mchakato wa mswaada wa katiba mpya ulivyofanyika hadi kusainiwa na Rais. Wa pili kushoto ni mbunge wa Musoma Vijijini Bw. Nimrod Mkono na Ofisa Tarafa ya Serengeti Bw. Justine Rukaka. (Picha na Nyakasagani Masenza) 

No comments:

Post a Comment