16 January 2012



Mshambuliaji wa timu ya soka ya Yanga, Hamisi Kiiza (kushoto), akimtoka mlinzi wa Sofapaka ya Kenya, Abdallah Juma, wakati wa mchezo wa kirafiki wa Kimataifa, uliochezwa Uwanja wa Taifa Dar es Salaam jana. Yanga ilishinda 2-1. (Picha na Nyakasagani Masenza)

No comments:

Post a Comment