16 January 2012

Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT), Dkt. Namala Mkopi, akisisitiza tamko la chama hicho, Dar es Salaam jana, lililoitaka Serikali kuwarudisha kazini na kuwalipa mshahara, Madaktari wanafunzi waliofukuzwa katika muda wa saa 72, kuanzia jana. Kulia ni Mjumbe wa Baraza la Madaktari Tanzania, Dkt. Faida Emil, Chama hicho pia kilimsimamisha uanachama, Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt. Deo Mtasiwa.

No comments:

Post a Comment