16 January 2012

'Mbaya' wa DMX akana kumshambulia

NEW YORK Marekani

MTU ambaye alidaiwa kuwa alijaribu kumshambulia rapa DMX  alipokuwa jukwaani wiki iliyopita, ameamua kusafisha jina lake kwa kusema kuwa hakutaka kumshambulia mwanamuziki huyo.

Mtu huyo aliuambia mtandao wa TMZ kwamba alichotaka kufanya usoni ni kutaka kumkumbatia kutokana na kukunwa na muziki wake.

Jamaa huyo aliyetambulika kwa jina la Andy Roy alipanda jukwaani wakari rapa DMX alipokuwa akitumbuiza Alhamisi katika eneo la Long Beach, alisema alikuwa akitaka kumpongeza nyota huyo kwa kumkumbatia.

Roy ambaye ametoka jela, alitaka kumkumbatia kuonesha kuwa wako pamoja ambapo DMX naye alitoka jela siku za karibuni.

Kwa mujibu wa Andy, ilikuwa hakuaelewaka na kuongeza kuwa, "DMX ni mgonjwa!

No comments:

Post a Comment