19 January 2012

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bw. Sadik Mecky Sadik (kulia), akipokea msaada vitu mbali mbali jana, vilivyotolewa na Mkurugenzi wa Shirika la Posta Bw. Deos Khamisi, kwa ajili ya waathirika wa mafuriko. Wengine ni Maofisa wa shirika hilo.

No comments:

Post a Comment