20 January 2012

Mchezaji timu ya soka ya Ulongoni, Noel Nurdin(mbele), akijaribu kumtoka, juma Issa wa Gongo la Mboto FC, wakati wa mchezo wa kirafiki, uliochezwa kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Ulongoni B, Dar es Salaam juzi, Ulongoni ilishinda 3-1.

No comments:

Post a Comment