18 January 2012

Mbunge wa Vunjo mkoani Kilimanjaro kwa tiketi TLP, Bw. Augostine Mrema, akitoa heshima za mwisho kwenye jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Viti mkoa Morogoro, Regia Mtema, kwenye viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam jana.

No comments:

Post a Comment