18 January 2012

Askari wa Bunge, wakiwa wamebeba Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Viti mkoa Morogoro, kwa tiketi ya Chadema, Regia Mtema, baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam jana kwa heshima za mwisho.

No comments:

Post a Comment