18 January 2012

Dkt. Nkya
Naibu waziri wa Afya na Ustawi wa jamii, Dkt. Lucy Nkya, akizungumza na waandishi wa habari (waliosimama kulia), Dar es Salaam jana, kuhusu mgomo wa wataalamu 194 walikuwa kwenye mazoezi ya vitendo, katika Hospitali ya Taifa Muhimbili. (Picha na Prona Mumwi) 

No comments:

Post a Comment