16 January 2012


Baadhi ya Maofisa wa Wizara ya Maji, Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASCO), na Mamlaka Miliki ya Miundombinu ya Maji Dar es Salaam (DAWASA), wakiangalia ujenzi wa mtambo mpya wa maji, Ruvu Chini, Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. (Picha na Charles Lucas).

No comments:

Post a Comment