16 December 2011

JK Entebe Uganda kuhudhuria mkutano

Rais Jakaya Kikwete (anayepunga mkono), alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Entebe, Nchini Uganda jana, kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Maziwa Makuu, kupinga Unyanyasaji na Ukatili wa Kijinsia.

No comments:

Post a Comment