20 December 2011

JK aapisha mabalozi

Rais Jakaya Kikwete, akiwa katika picha ya pamoja na Mabalozi saba na baadhi ya watendaji wakuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Ikulu Dar es Salaam jana, baada ya kuwaapisha mabalozi hao.

No comments:

Post a Comment