22 December 2011


Eneo la Jangwani jiji Dar ni moja ya maeneo yaliyo athirika na matukio ya mafuriko, hili ni eneo linalojulikana kwa matukio kama haya kila mwaka, na wakazi wake walisha Ombwa kuhama makazi hayo kutokana na Athari kama hizo pindi mvua kubwa inaponyesha. Kwa hali hii Inatufndisha nini sisi Watanzania??

No comments:

Post a Comment