Msanii Faida Makame Shaali, akiwaongoza wachezaji wenzake katika ngoma inayojulikana kama 'Kubwaya' wakati wa sherehe za maridhiano na Umoja wa Kitaifa visiwani Zanzibar zilizoandaliwa na Taasisi ya Swahili Center, juzi katika Kijiji cha Nungwi, Unguja kwa kushirikiana na ubalozi wa Norway.(Na Mpigapicha Wetu).
No comments:
Post a Comment