27 September 2011

.................................................

Kamanda wa Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Kamishna Msaidizi Mwandamizi, Mohamed Mpinga (kushoto) akimshukuru Mkurugenzi wa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Bw. Steve Kilindo baada ya kupatiwa na TBL msaada wa fulana na kofia vyenye thamani ya sh. mil. 10 kwa ajili ya maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama yatakayofanyika kitaifa mkoani Kagera kuanzia Oktoba 2-8, mwaka huu. Hafla hiyo ilifanyika Dar es Salaam juzi.

No comments:

Post a Comment