mawasiliano
Makala
Uchumi na Biashara
Michezo na Burudani
Habari Mikoani
Mwanzo
21 September 2011
.................................................
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Bw. Abbas Kandoro akitoa agizo kwa wafanyabishara wa Soko la SIDO, Mbeya lililoteketea kwa moto wiki iliyopita alipowatembelea jana. Alipiga marufuku ujenzi holela katika soko hilo ili kuepusha janga kama hilo kutokea tena.
1 comment:
Anonymous
September 21, 2011 at 8:24 AM
Hongera Mkuu wa Mkoa Mbeya Kandoro sasa kavalishwa mavazi na sura ya Kamanda Kova
Reply
Delete
Replies
Reply
Add comment
Load more...
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Hongera Mkuu wa Mkoa Mbeya Kandoro sasa kavalishwa mavazi na sura ya Kamanda Kova
ReplyDelete