23 September 2011

.................................................

Mgombnea ubunge jimbo la Igunga kupitia CCM, Dkt. Dalaly Kafumu akihutubia maelfu ya wananchi waliofurika kwenye mkutano wa kampeni za chama hicho eneo la Mwanzugi Kata ya Igunga Vijijini, mkoani Tabora, jana.

No comments:

Post a Comment