16 September 2013

TPSF YAWATAKA VIJANA KUTUMIA FURSA KUJIENDELEZA KIUCHUMI



 TAASIS IyaSektaBinafsi (TPSF)i mew ataka vijananchiniwametakiwakuwa wabuni fu na kutumia fursazakibi ashara ziliz op oili ku kuzakipatochaonata ifakwaujumla,anaripoti Mwa ndishi We tu.


U shaurihuoume tolewanaMweny ekiti waTaasisi yaSekta Binafs i(TPSF), Re ginaldMengi,m wishonimwaw ikijij ini Dares Salaa mwak atiwahafla yakumkabidhituz oyaheshimaMwenyekiti naM ku rugenzi Mt endajiMkuuw aKampuni yaHelvet ic Sola rCo ntractorsLTD , P atrick Ngowi, kama njiayakutambua mafanikioaliyoyapat akatika biasha ra.

"Vijanaw anawajibuwa kutumiavipaj i vyaonaeli mukujiende lezakibia sha raili wa wezeku kuakibiasharanakusai diataifa kuboresha ustawiwajamii ," alisema.

Ali se makijana aliyetunuk iwatuzohiyoamewezaku fani kiwa kibiashara akiwa na umri wa miaka 28, hivyo vijana wengine wanatakiwa kuiga mfano huo.

Alisema taifa linategemea vijana hivyo wanatakiwa kujituma ili waweze kuwa wafanyabiashara wakubwa na matajiri wasaidie jamii inayowazunguka.

Mkurugenzi Mtendaji wa TPSF, Godfrey Simbeye, a l i s ema k i j a n a h u y o amefanikiwa kupitia biashara ya ukandarasi wa kutumia teknolojia ya nishati ya jua (Solar Power contractor) kusambaza umeme.

"Kijana huyu kwa sasa anamiliki makampuni mbalimbali ya kusambaza na kutumia nishati ya jua katika nchi tatu za Afrika Mashariki," alisema.

Alisema makampuni hayo yamejumuishwa kundi la kampuni za Helvetic Group of Companies lenye jumla ya mapato ya mamilioni ya dola.

No comments:

Post a Comment