16 September 2013

SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA UWEKEZAJI



Na Grace Ndossa
SER IK ALI imewahak ikishi awawekezaji kuwaitaendel eakuwekamazingiraborayak ufanyabiashara na u wekezaji kamachachuyakuvutiazaidi uwekez ajinchiniili kuongezakasi yama endele ona ukuaji wauchum i.
K aulihiyo imetolewa naKat ibuMk uuO fisiyaWa ziriMk uu,Dk t.Flor ens Tur uka,wakati a kizu ngumzanawaa ndishiwahabari mwishoni mw awiki
."Serikalii meboresha mazingi rayau wekez aji kwa kuwekaser a n asheriaambazozinatoafu rsakwawawek ezaji kufany ashu ghu li zaobilavikwazo vyovyotenchini," alisemaD kt.Turuka .
AlibainishakuwaSeri kali imeidhinisha mpa ngowamaboresh o w amazing irawezeshiyabi asharana uwekeza jiun a oainishakatika maeneo1 0yanayo lengatar atibuzakisera,kisherianazakiutaw al a zinazozingati wa nawafanyabiashara na wa wekezaji.
Dkt.Turuka alis ema, kuanzia mwaka2003hadisasaSerika li imefanyamabo reshombalimbali yakiwem oya taas isi zake kufanyaka zikwaubunifunaushirikianoili kuleta tija na ufanisi zaid i.
A lito lea mfano Bandari yaDaresSalaamakisemahudum a z otezau kaguzi wa uborawabid haa kutokanjeyanchizinafan yikabandarini na zinah usishamam laka zotemuhimu.
Alitolea mfano shughuli zaMa mlaka yaChakulana Da wa(TFDA) , Shirika laViw ango Tanz ania(TBS) namamlakanyi nginezinafa nyi kiaba nda rinihapoikiwanimo jayamik akati ambayoseri kali imechu kuakubore shamazingiraya kufany abiashara .
Piaa lisemamuda wa kusaji ri kampuninakupata vibalimbalimbal i hu tolewakwamudamfup isa naikilin ganishw a nasi kuza hapo nyum a.
"Vituovya ukaguzi wa mizigobarab ar anivimepunguzwa kutoka50hadi 15ilikurah isishausafi rish aji wa bi dhaazinazo endanjeyanc hi,"alisem aDkt .Turukanakuo ngezaku wa,serikali itaendeleak uchuk uahat ua mbalimbal izenyelen golakuboresh azaidimazingira ya kufanyabi ashar a.
Alisema mifumo ya ulipaji kodi inafanyika kwa njia rahisi za kieletroniki katika malipo ya kodi mbalimbali kwa kutumia simu za mkononi ili kupunguza gharama na usumbufu kwa wafanyabiashara kupata huduma zote za TRA.
Pamoja na Tanzania kufanya maboresho hayo, mashirika kimataifa ikiwemo Shirika la Kimataifa la Maendeleo ya Biashara (UNCTAD), Kongamano la Uchumi Duniani (WEF) na Benki ya Dunia (WB) yanasema Tanzania inahitaji kuboresha zaidi mazingira ya biashara na uwekezaji.
"Sisi kama Serikali tutaendelea kutumia tathmini zilizotolewa na mashirika hayo kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji hapa nchini na kufikia matarajio ya wafanyabiashara na wawekezaji," alisema.

No comments:

Post a Comment