16 August 2013

WIZARA YA ELIMU YAZINDUA MPANGO WA MATOKEO MAKUBWA



Na Grace Ndossa
SERIKALIi mezind u autekelezaji w aMkakatiwa Matok eoMakubw aSasa (BRN)kat ika sektaya elimuili kui nua kiwango cha elimukwashulezaMsinginaSekon dari nchini.Kauli hiyo ilitolewa Dar es Salaamja nanaWazir i waElimuna Mafunz oya Uf undi,Dkt. Shuku ruKawamb waalip okuwaanazindu mpangohuo wakuleta MatokeoMkubwaSa sakatik ase ktahiy o

Alisem ase ktay aeli muni miongoni mw asek tasita zilizochaguliwaka tikamp angohuonaS erikali. Sektanyingin eniza nish ati ,maji, miondom binu,ki lim onafedha . Se ktah izozimech aguliwazik iwaniza mw anzokatika kutek eleza m pangoh uoilikule tea nchi katikamatoke oma ku bwanaya haraka.
A lisemazaidi yamiaka10se kta yaelimu i mekuwa ikikab iliw anachangamotomba limbaliam bazozimeathiri u toajiwa elim ubora. Alitaja ch angamoto hizok uwani uhabawawalimu,uwez omdo gowawalimukuf undishanakujifunzamiu ndomb i nuisiyokid hi mahitaji ,ma pungu fuka tikau sim amiz iwaelimukat i kangaz iyashule, ufu atiliaji na tathmini na udhibiti wauboraw as hule.
“Changa motokubwa iliyoainishwana utam buzi kuwaing awakiwan gochauandikishaji wawan afunzikim eong ezeka, uborawa el imuume shukana k uporomokakwaufa ulukati kaelimu ya msingi nasekondari,”alisema Dkt. Kawambw a.
N ayeNa ibu Waziriw aTawala zaMik oanaSerikal iza Mitaa(TAMI SEMI)KasimuMajali alisemani vyem a kuwash irikishawadau wa elimu na wananchi ili wachangie maoni yao katika kuboresha mpango huo.
Katika uzinduzi huo Tamisemina Wizara ya Elimu walisaini mkataba wa kutekeleza mpango wa matokeo makubwa ya elimu nchini.
Wa k a t i h u o huo, Dk t . Kawambwa aliwataka wakaguzi wa shule kufuatilia kutoa ushauri kwa Mwalimu Mkuu ili kuwezesha kila mtoto kuwa na stadi za kusoma, kuandika na kuhesabu wamalizapo darasa la pili na kama watashindwa kufanya hivyo watawajibishwa.
Alisema kuwa watendaji wote wa elimu wanatakiwa kufuatilia kusimamia na kutoa ushauri kwa Mkuu wa shule katika kusimamia utekelezaji wa ufundishaji wa mada mbalimbali zilizomo katika muhtasari wa masomo.
“Maofisa elimu na wakaguzi wa shule wa Mkoa na Wilaya mtawajibishwa kwa kushindwa kusimamia shule zinazojitokeza kushindwa kukamilisha mada zilizomo kwenye muhtasari wa masomo husika, hii itajionesha wazi kwa wanafunzi toka wilaya moja au shule kushindwa kujibu maswali ya mtihani,”alisema Dkt. Kawambwa.
Alisema kuwa maofisa elimu wa wilaya wanatakiwa kuhakikisha rasilimali zilizopo za utoaji elimu bora katika halmashauri zinatumika vizuri kuinua ufaulu ili kufikia malengo yaliyowekwa.
Alisema wanatakiwa kuwabaini walimu wenye uwezo mdogo wa kufundisha baadhi ya mada na kuwajengea uwezo wa kuwatumia wakaguzi wa shule na wadau, kuratibu na kuyashughulikia madai ya walimu yakiwemo upungufu wa nyumba, madeni, madaraja na madai mengine ya kiutumishi

No comments:

Post a Comment