23 August 2013

HITILAFU YA UMEME

Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Felchesmi Mramba, aliyeinua mkono
(katikati), akiwaonesha baadhi ya waandishi wa habari, Dar es Salaam jana, eneo lililounguzwa na
moto na kusababisha madhara katika nyaya za umeme wa Kampuni ya SONGAS juzi usiku. Tatizo hilo litasababisha kukosekana kwa umeme kwa kipindi cha wiki 2, katika baadhi ya maeneo jijini

No comments:

Post a Comment