Meneja
Uhusiano wa Airtel Bw.Jackson Mmbando (katikati) akiongea wakati wa uzinduzi wa
promosheni ya Airtel money Bure ijulikanayo kama
‘Hakatwi mtu hapa’ itakayowawezesha wateja wa Airtel kutuma na kutoa pesa bure
popote pale nchini. Kushoto ni Meneja uendeshaji Airtel Money, Asupya
Naligwingwa na kulia ni Meneja Masoko Airtel Money, Rwebu Mutahaba.
No comments:
Post a Comment