25 July 2013

WATANO WAIBUKA NA ML.10/- PROMOSHENI CHEKA PLUS



 Na Mwandishi Wetu
KAMPUNIy a VodacomTanz ania imeendeleakuboresha m aishayaWatanzaniakwak uw awezes ha kujishindiakititac hash.milion i10kupitia promosheni ya ‘Cheka Plus.’M enejaUhusian owa UmmawaKamp uni hiyoB w.Matina Nkurlu,alisema kuwaKitit ahichokimenya kuliwan a was hindiw atano ambapo kila mmoja amejishindia kiasich ash.milioni2 kilammojakupit iaPr omosheni y a‘Che ka Plus’ iliyofanyika Julai 20m wa kahuu.

Aliwatajawashind ihaoni Musa Hussei nEllmyambayenimk aziwa Karatu- Arusha , Vumi J osh uaMt eru(Kiliman jaro), Joseph GodfreyKyando(Tunduma,Mbeya), AnatoriEmm anuel Chogol o (Dar es Salaam) , naAminaJosephMmbaga(Arusha).Alisema kuwa zaidi ya wateja 6,000wa mefaidikana ofahiyokabam beinayoende leahivi sasa nchinzi maa mbapozaidi y ash. milio ni100 zilikab idhiwak wawatejambalimbaliw ali oshindakupitia Promoshen iya‘Cheka Plus.’
Nkurlu alisema kuwa, tayari watejambal imbal inchiniwame wezakujishi ndiakiasik inacho fikiazaidi ya sh.milioni 10 0:“Tu mekuwatukipata washindi 100kilasikuam bapo wame kuwa wak ijis hind iash.10,000kilammojanawash indi wengin e10wakijin ya kuliash.50,000k ila siku, sambamba na droo kubwa ya mwezi ambapo katika washindi watano kila mmoja wao amekuwa akijinyakulia kitita cha shilingi milioni mbili."
Alisema Nkurlu promosheni hiyo bado inaendelea hivyo anawasihi wateja wa mtandao wa Vodacom kuendelea kufaidika na huduma zao ikiwemo promosheni ya “Cheka Plus” na kuweza kujishindia zawadi kemkem sambamba na kuendelea kuwasiliana na wapendwa wa

No comments:

Post a Comment