MHAD
HIRI w aCh uoKikuuchaKilimoc haSo koine (SUA), Dkt . DamianGabagambi,amesema ina
hitajimi aka240kua nziasasailikuwe zakuto kom ezauma skini
uliokithirikwawananchinchini,anaripoti Mw anadishi Wetu, Morogoro.
Ha
yoyalibainishwamji ni hapajanana Dkt. Gabagam bi,wakati wamkut anom
kuuwaMtandaowa Vik undivya Wak ulim a Tanza nia(MVIWATA).Alisema hali
hiyo inachangiwa na kiwango kidogo cha kupunguza umaskini nchini tangu mwaka
1992 hadi mwaka 2011. “Tangu mwaka 1997 hadi mwaka 2011 umasikini umepungua kwa
asilimia 2.1, hivyo kwa mtindo huu tukitaka kupunguza umaskini hadi asilimia
10, tutahitaji miaka 169 na kuutokomeza kabisa ni inahitaji miaka 240,”
alisema.
Alisema ili
nchi iondokane na hali hiyo, ni lazima kuwapo na ushirikishwaji wa wadau
mbalimbali katika sekta husika. A l i s e m a w a k u l i m a
hawashirikishwi katika kuandaa mipango ya kupambana na , hivyo kusababisha
changamoto zilizopo kwenye kilimo kuendelea kubaki zile zile pamoja na kuwapo
kwa juhudi mbalimbali.
Dkt.Gabagambi, aliishauri Serikali
kubadili mtindo wa ushirikishaji wa wadau ubadilishwe ili washirikishe wengi
zaidi, kwani kushirikisha watu wachache ni ulaghai.Naye Profesa Amon Mattee, kutoka SUA
aliwashauri wakulima na wafugaji kuzingatia sera katika masuala yote yanayohusu
kilimo pamoja na kujitambua katika kukuza maslahi yao katika mchakato wa sera.
“Wakulima na wafugaji kutokuwa na
ajenda na kutegemea viongozi wa serikali au kuwasema ni tatizo, kukosa sauti na
msukumo wa pamoja katika mambo yanayowahusu ni tatizo, hivyo mnapaswa
kuondokana na dhana hizi ili kulima kilimo chenye tija,” alisema.
Aliwataka
wakulima watambue kuwa, wana haki na wajibu katika mchakato wa kuandaa sera
pamoja na kuainisha mambo yanayowagusa, kwani wao ni kundi maalum ambalo lina
tija kwa maslahi ya taifa.
No comments:
Post a Comment