05 July 2013

WANANCHI WATISHWA NA SIMBA


 MAISHA yabaad hi yawakaziwa Kij iji chaMar umba, Wilayaya Tundu rumkoani Ruvum ayakoh atarinikwaku hofiakuli wanawanyamawaka liwakiw emosim ba, anaripoti Elizabeth Joseph, Tunduru.
Waki ongeakwan yakati tofauti katikakijiji hich owakazi haowalisema kuwamaishayao yako hatarinihasa n yakati zau sikuwakiwawanawahi usa firi.
Mkaz i mmojawaeneo hilo, Dunia Alma si alisemaku wa katika kijijih ichokumekuw anatatizolakuwep osi mbanyakati zausiku ku anzias aatatu jamboam balolinahataris ham aishay ao.

"Usafiriwa kwend amjini katika kij ijichetu unap at ikanas aatisausiku nani garim ojatuhivyo ina tula zimukudamkam apemailikuwahi basi lakini nji atunazo zitu mia niporitupusasah aosimbawataacha kutud huru? "Ali hoji Alm asi.
Aidha mkaz imwin gine aliyejitambulishak wa jinamojala Hope alisemahakunahuduma muhimuikiwemo usafiri, barabaranzuri hali ambayo huwalazimu wa kazi hao kutembea u mbali mr efuilikupatausafiri nanyakatiza usiku.
"Maisha yetu yako hatarini na tunaishikw a hofukubwa kwani inatulazi mukuwahi kulalak uhofiakuliwa nas imba hatamto toamanduguzet uwakichele waku rudi un aweza ku dhan i kuwa ameliwa nasimbapiakwawakatim wingineikitokeakuw akunam gonjwaanayehita jikaku pelekw azahanati usikutuna ingiwanahofuw akati mwin ginehata w ag onjw ahufatukiwaangalia kwakuwa tunaogopa naukian galiazahanati iko mbali," ali semaHope .
K waupandewakeDiwani wakata hiyo, M senga Msengaalipotafutwa iliku thibitis hataarifa hizi alielezakuw ataarifaza simbaaliz ipatanakuongezakuw asimbahaowam esa babishwa nawa fugaji walio vam iaHifad hi y aSelous kwa ajiliyama lishoyam ifugoyaondiyomaanaw anah ama kutokakatika hifadh ihiyonakuingia katikamae neoyamak aziya watu.
Mse ngaalio ng ezakuw abaadaya kupewa taarifa hizo aliwafuata na kuongea na wafugaji hao na kuwaamuru wahame katika hifadhi jambo ambalo hawakulitekeleza hadi hivi sasa lakini aliahidi kuendelea kulifuatilia.
Aliongeza kuwa suala la magari ya abiria kuondoka nyakati za usiku na nauli kuwa kubwa kiasi cha shilingi elfu nane lilishawahi kuongelewa ambapo wamiliki wa magari hayo walipewa taarifa ya kupunguza nauli na kuangalia muda mzuri kwa ajili ya usafiri wa abiria lakini hakuna kilichotekelezwa.

No comments:

Post a Comment