Na Mwandishi
Wetu
TIMUy aTaifayaTanzania (Taif aS tars) , in
aondokaMwanzakeshokwe ndaKampala, Uganda kwaajili ya mechi
yamarudianoyaKombelaC HANitak ayochezwa Ju mamosi Uwanj awaMandela kuanzia saa
10 kamilij ioni
.T aifaStarsi
nayodham iniwanaKilim anjar oPremiumLager, ikoka mbi niMwanzac hiniyaKoc
haKimPo ulsen, tang uJulai 14, mwa kahuukujian da akwamechi hiyoita kayo
amuanit imu i pi katiyahizo mbili itachezaF ainali zaCH ANzitakazofanyika
mwakani nchiniA frikaK us ini.
Kwa mujibu
wataarifa iliyotolewa kwavyombov yahabari ja nanaOfisa Habari w aSh
irikisholaMp ira waMiguuTanz ania, Boniface
Wa mbura, timuhiyoitaondokauwan
jawandege wa Mwanza saa 7.25mc han a.
Wa mburaa lis em
ati muhiyoitaondo kakwand egeya Precisio nAir, nai nata rajiwaku tua Uwanjawa
Ndeg ewaKimata ifawaEntebbe saa 10.15 jioni.
Wakati huo huo, Kocha Kim Poulsen leo atakuwa na
mkutano na waandishi wa habari kuzungumzia maandalizi ya kikosi chake. Mkutano
huo utafanyika saa 5 kamili asubuhi kwenye hoteli ya La Kairo jijini Mwanza.
No comments:
Post a Comment