23 July 2013

VODACOM YALIPA KODI YA BILIONI 18/-



 Na Mwandishi Wetu
KAM PUNIyaMaw asilianoyaSimu, V oda comTanzania imelipakiasi ch ash.bilioni18 kama kodiyam akampuni katikarob oyamwak a wafedha2013/2 014u nao anziaAprili Mosi, mwaka huu mpaka Machi 31, 2014.Mbali namalipoya kodi yamakampuni, Vodaco mTanzania imelip akias ich ash.50, 694,224,199kamak odin au shurumbalimb ali, ana semaMkuruge nzi Mtendaji wakamp uni hiyoyaVodacomTanzania , Bw. R ene Me za.

"Kodihizi nipamojana:Ushuru waBidh aaambaonikiasic hazai di yash . bilioni 13 , kod iya mak amp un iniz aidi y as h. bilioni24,zuiolak od izaidiya sh.bilioni 16nakodiambazozilikusanywakw a nia ba ya serikali katika kipindi hicho (PAYE) ni sh. 4,166, 020, 453,"alisema.G haramanyi nginenaadani:Adayaudhibiti yashilin gi 1,08 6, 197, 864,ushuruwaUSCAF( USCAFLevy ) sh. 4 07, 324,199 ,ushuru wahudu maza m pangomiji (CitySer viceLe vy)sh.662 ,928,965, kodiyamatangazoyam anisp aa(Mun ici pal Adverti sin gTax)ya sh.562,945,7 17, Kodiy aMich ezoyakubahatisha(Gaming B oardFee s) yas h. 397,467,49 5,ushu ruw aSDLsh. 911,260,631,ush uruwa sta mpu (St ampD ut y) sh.239,3 02,Ush uruwastad inamaendeleo(Sk illsand De velopme nt Levy) sh .911,2 60,631naKodi yaMifukoy aJ amii(Social Secu rityContributions) ya sh.1, 295,077, 519.
" Tumewezakuchangiaush uruwaserikali kwa kiasi kikub wakwa sababua mb apotumeanzakuonjamatund ayauwek ezaji wetu nchini. Vile vile tumeguswa na ongezeko la kodi kwenye sekta ya mawasiliano na hili linaweza likaathiri uwezo wa wateja wetu kulipia gharama hizo kwani hapo nyuma gharama hizi zilikuwa zikipungua na wateja kuzifurahia kuweza kuzimudu," Meza alisema.
Aidha, aliendelea kusema kuwa Vodacom inaelewa kuwa serikali inahitaji kukusanya mapato kwa ajili ya kuwekeza kwenye miradi ya maendeleo, lakini ongezeko la kodi katika huduma za mawasiliano ya simu za mikononi itapelekea kushuka kwa ulipaji wa kodi ya kampuni kutokana na kupungua kwa matumizi kwa wateja wa simu.
Mwaka jana Kampuni ya Vodacom Tanzania ililipa kodi ya makampuni inayofikia kiasi cha sh. bilioni 36, sambamba na ukusanyaji wa sh.92,322,077,623kama ushuru na sh. 51,337,344,600 kama gharama za ushuru wa bidhaa na 4,565,183,461 kama kodi ya makampuni kwa niaba ya serikali.
Ni kiasi gani Kampuni ya Vodacom imedhamiria kuwekeza kwa mwaka 2013/14, Bw. Meza alisema kuwa Kampuni yake ina mpango wa kuwekeza zaidi ya shilingi bilioni 207 katika kuboresha mawasiliano na upanuzi wa wigo wa mawasiliano.
"Tumedhamiria kuhakikisha kwamba Watanzania wengi zaidi wanapata huduma yetu na ndiyo sababu tumeongeza wigo wa mtandao wetu, hadi kufikia mwishoni mwa Juni 2013. Kampuni ya Vodacom Tanzania imewekeza kiasi cha zaidi ya sh. trilioni 1.3 toka kuanzishwa kwa shughuli za uendeshwaji hapa nchini.
Licha ya kutoa huduma za mitandao ya simu, Bw. Meza alisema kuwa Vodacom inajivunia kuwa na wigo wa kuchangia shughuli za kijamii.
Mwaka 2012, Vodacom Tanzania kupitia mfuko wake wa kusaidia jamii uitwao Vodacom Foundation imetumia kiasi cha sh.bilioni 11 kwenye sekta za afya, elimu na shughuli zingine za kiuchumi hapa nchini.
Mfuko huo wa Vodacom Foundation umeshasaidia miradi ya maendeleo ipatayo 120 mpaka sasa, kutokana na uchangiaji wa fedha kwa ajili ya kutoa elimu kwa jamii na kutokomeza ugonjwa wa fistula Tanzania, kusaidia vifaa vya kufundishia shuleni na kuwawezesha wanawake wanaoishi vijijini kwa kuwatafutia njia ya kupata maji kiurahisi.

No comments:

Post a Comment