Na Rehema Maigala
NAIBU
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia January Makamba am
ekitakaChamachaViny ozina Wasus iT anzan ia(VIWA) kuji ungakati kamifukoy
ajamiiili waw ezekusonga mbele katika kuiletea fani yaomae ndeleo.
Hayo
alisem ajuzi w akati wauzind uziwa chamah icho,am bapoalisema n guvukub
wayavija nawamein gi akatikafani hiyo lakini kip atocha o badonik idogo.Ali
semavinyozi naw asusi ni taaluma nyetilakini imesahaulik
ahivyowanatakiwakujiungak atik aviku ndiiliwa wezekukopeshw akwaaj ili yakujie
ndel ezakatika biasharazao .
"Kujiu
ngakatika mifuko ya jamii kunasaidia cham aauv ikundi fulan i kuko peshwapesa
kwaaji li y akujiendelezakatikamalengo yenumnayoy ahitaj i,"alisem aMak
amb a.Hatahivyoali
kisifuch amachaVIWA kwa kujiungak wap am ojakwaajili yak utafutamaendele oya
onakuta mbu likakwa serikali na jamii nzima ya Tanzania.
Vilevile
alikiahidi chama hicho kuwa atatafuta wataalamu wa kutunga katiba ili waweze
kutengeneza katiba ya VIWA ili kupunguza migogoro katika chama ."Katiba
ina umuhimu katika chama inapunguza migogoro ya mara kwa mara kwa kuwa yenyewe
ndio itakayokuwa inawaongoza katika mambo yenu mbalimbali," alisema
Makamba.
Naye
mwenyekiti wa chama hicho Abdallah Shabani alisema "fani ya wasusi na
vinyozi imekuwa ni fani ya kudhaaurika kwa muda mrefu hivyo tunaiomba serikali
itupe kipaumbele kama vyama vingine ili tuweze kusonga mbele kwa yale
tunayoyafanya."
Alisema
kuwa vijana wanaoingia katika fani hii wanaonekana ni wale waliokosa mwelekeo
na hawana elimu ya kutosha, ndio maana wameamua kujiunga katika fani hizo.Pia
alisema wao wana uwezo mkubwa wa kuboresha afya ya Watanzania na kuididimiza
afya kwa kutumia vifaa wanavyotumia wanapokuwa k
No comments:
Post a Comment