31 May 2013


Meneja wa Vodacom Tanzania Mkoa wa Kigoma, Bw. Kasinde Umella, akisalimiana
na Baba wa mshindi wa sh. Milioni 100, katika 'Promosheni ya Vodacom
Mahela', Bw. Nicodemus Nalisis (kushoto), alipofika uwanja wa ndege kumlaki mtoto wake
Bw. Valerian Kamugisha (katikati) alipowasili Kigoma kutoka Dar es Salaam alikokabidhiwa 'kitita' hicho juzi. (Na Mpigapicha Wetu)

No comments:

Post a Comment