31 May 2013

Dereva wa pikipiki ya kubeba abiria 'Bodaboda' 'akiuchapa' usingizi baada ya kukosa abiria kwa muda mrefu, kama alivyokutwa Mtaa wa Samora Posta Dar es Salaam jana. Kuendesha vyombo vya moto bila kupumzika husababisha uchomvi ambao huchangia kutokea kwa ajali. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment