21 January 2013

WAZIRI

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dkt. Fenella Mukangara (kushoto), akipiga mpira kama ishara ya uzinduzi wa mashindano ya Kombe la Meya katika uzinduzi uliofanyika Kinondoni, Dar es Salaam juzi.Kulia ni Meya wa manispaa hiyo, Yusuph Mwenda.Picha na Peter Twite

No comments:

Post a Comment