29 January 2013

WAKIPONGEZANA

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba (kushoto), akipongezana na mmoja wa wanachama wa chama hicho katika Viwanja vya Zakhiem Mbagala Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Bi. Fatma Bakari  wakati wa mkutano wa kumbukumbu ya Miaka 12 ya mauaji ya wanachama wa chama hicho yaliyotokea Zanzibar. (Picha na Peter Twite)

No comments:

Post a Comment