29 January 2013

VITAFUNWA


Baadhi ya wanawake wachuuzi wa vitafunwa wakisubiri wateja kando ya Barabara ya Msimbazi Karikoo, Dar es Salaam jana. Uuzaji wa vyakula katika mazingira yasiyo rasmi kunaweza kuhatarisha afya ya walaji. (Picha na Peter Twite)

No comments:

Post a Comment