MAJIRA - GAZETI HURU LA KILA SIKU:

mawasiliano

  • Makala
  • Uchumi na Biashara
  • Michezo na Burudani
  • Habari Mikoani
  • Mwanzo

03 January 2013

TEMBO WA SADANI


Tembo akichunga katika malisho ya Mbuga ya Sadani iliyounganisha Mikoa ya Pwani na Tanga. Tembo huyo anakadiliwa kuwa na miaka kati ya 50 na 60, tembo huishi hadi miaka 90. Mnyama huyo hufikia uzito wa tani saba, hunywa maji takribani lita 200 kwa siku na kula aina ya miti 360 ambapo ni asilimia 33 tu ndiyo inayofanya kazi mwilini mwake. Tembo hubeba ujauzito kwa miezi 22 kwa kila mtoto mmoja. Tembo hubeba ujauzito mwingine baada ya miaka 6 hadi 9. Tembo hulea mtoto kwa miaka 50. (Picha na Im

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Archive

Zilizopendwa

  • HOFU YA VYETI FEKI SERIKALINI
    WATUMISHI WOTE SASA KUHAKIKIWA VYETI VYAO ASKARI WALIOVITUMIA KUPANDA VYEO KUKIONA   Na Heri Shaaban Wizara ya Ulinzi na Jeshi ...
  • ...ZANZIBAR HEROES YAAGA MASHINDANO
      Na Mwandishi Wetu, Nairobi W awakilishi wa Tanzania katika michuano ya Chalenji inayoendelea nchini Kenya ya Zanzibar Heroes, j...
  • MAGUFULI: SINA HURUMA KWA MATAJIRI WA MAGARI
    Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli, amesema ataendelea kusimamia sheria ya barabara namba 30 ya mwaka 1973 hadi anaingia kaburini kwa...
  • JK AMTEUA DKT. MIGIRO BUNGE
    Na Mwandishi Wetu Rais Jakaya Kikwete, amemutea Dkt. Asha-Rose Migiro, kuwa mbunge wa kuteuliwa.Taarifa iliyotolewa Ikulu, Dar es S...
  • OFISI YA CHADEMA YACHOMWA MOTO
    Na Queen Lema, Arusha Katika hali isiyo ya kawaida, watu wasiofahamika wamevamia ofisi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)...

TAFUTA HABARI

Google
Custom Search

PATA HABARI


Majira
Business Times
Spoti Starehe

mawasiliano

mhariri mtendaji - 0773138085
mhariri wa habari - 0774442490

Dawati la makala
mhariri michezo - 0774442860
matangazo - 0774443110
usambazaji - 0774441131
Picture Window theme. Powered by Blogger.

Visitors - Start from November 9, 2011

Majira counter