28 January 2013

MAZUNGUMZO


Mbunge wa Jimbo la Vunjo, mkoani Kilimanjaro, Bw. Augustine Mrema, akizungumza na baadhi ya wahariri wa Majira, katika chumba cha habari cha gazeti hili Dar es Salaam jana, kuhusu malalamiko ya wakazi wa Himo wilayani Moshi Vijijini, wanaolalamikia kujengwa kwa kiwanda katika kiwanja namba 16 eneo ambalo ni makazi ya watu. Kushoto ni Mhariri wa Habari za Mikoani Bw. Benedict Kaguo na Mhariri wa Majira Jumapili, Bi. Gladness Mboma. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment