28 January 2013

MAZUNGUMZO


Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Habari, Wamiliki na Wahariri wa Vyombo
vya Habari wakimsikiliza Waziri Mkuu, Bw. Mizengo Pinda, wakati alipozungumza nao kwenye
makazi yake, Oysterbay jijini Dar es salaam juzi. (Wa tatu kushoto) ni Meneja Mkuu wa Kampuni ya Business Times Limited, Bw. Aga Mbuguni. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment