28 January 2013

MASHINDANO


Mchezaji wa timu ya mpira wa kikapu ya Rwabda, Kamana Issa (kulia) akiwania mpira sambamba na mchezaji wa Burundi Henderson Tema, wakati wa mechi ya mashindano ya Kanda Tano ya Afrika iliyofanyika Dar es Salaam jana. Rwanda ilishinda kwa pointi 62-52. Picha na Rajabu Mhamila

No comments:

Post a Comment