18 January 2013

KERO


Mkazi wa jiji akipita karibu na lundo la matawi ya miti yaliyotelekezwa kwa zaidi Wiki moja katika makutano ya Mtaa wa Mosque na Mshihiri Posta, Dar es Salaam jana. Ukataji wa miti na kuachwa katika barabara pamoja na kuchafua mazingira pia unasababisha kero kwa watumiaji wa barabara hizo. Picha na Peter Twite)

No comments:

Post a Comment