21 November 2012

MCHANGO

Rais Jakaya Kikwete akionesha mfano wa hundi yenye thamani ya sh. bilioni 8, zilizotolewa
na Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom kwa ajili ujenzi wa jengo la wodi ya wanawake katika Hospitali ya CCBRT jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo bW. Rene Meza, kulia ni Mkurugenzi wa CCBRT Bw. Erwin Telemans. Wa pili kushoto ni Naibu Waziri wa Fedha, Bi. Janeth Mbene. (Picha na Mpigapicha wetu)

No comments:

Post a Comment