01 October 2012

VICOBA


Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (CCM), Bw. Ramadhani Madabida, akizungumza na wanawake wa Benki ya Kuweka na Kukopa (VICOBA), Kata ya Buguruni, Dar es Salaam juzi, wakati wa uzinduzi wa benki hiyo. Katikati ni Mwenyekiti wa Umoja wa UWT Wilaya Ilala, Bi. Nora Mzeru na Diwani wa Viti Maalum (CCM), Bi. Batuli Mziya. (Picha na Heri Shaaban)

No comments:

Post a Comment